Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu (Jihad Islami) ya Palestina alisema harakati hiyo italipiza kisasi kwa mauaji ya wanachama wake kwa kuishambulia Tel Aviv kwa moto.
Habari ID: 3477044 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25